Hata wakija na gia gani, mkubwa hatishiwi nyau. By the way sidhani kama wanja litaweza kufikia OLDI TRAFODI, kwani inakadiriwa kuchukua watazamaji 75,000 wakati letu linapiga mpaka elfu 80 na ushehe, lakini mpaka ifikapo 2010 nasi tutakua na sijui tuiteje, ji wanja au nini... Tutaogopesha!!
MAN U Forever.

No comments:
Post a Comment